Jun 5, 2010

GENEVIVA EMMANUEL NDIYE VODACOM MISS CHANG'OMBE!!




Miss Chang'ombe Geneviva Emmanuel akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Upendo Urasa kulia na mshindi wa tatu Anna Daud mara baada ya washindi kutangazwa katika shindano la Miss Chang'ombe liliofanyika kweny viwanja vya TCC Sigara Jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.

Katika shindano hilo lililokuwa la kuvutia kutokana na viwango vya warembo walishiriki kwenye shindano hilo, mashabiki wengi waliinuka na kushangilia kwa nguvu mara baada ya washindi hao kutangazwa huku wakisikika kuwapongeza majaji kwa kazi nzuri kwani walidai kuwa majaji wametenda haki na hawa warembo wamejibu vizuri maswali yao, lakini pia mwaka huu chang'ombe wana wawakilishi wazuri kwenye Miss Temeke hata Miss Vodacom Tanzania Pia.

Katika onyesho hilo burudani ziliporiomoshwa na bendi tya FM Academia na kundi la ngoma za asili la Machozi kutoka jijini Dar es salaam.


Hawa ni Tano bora kuanzia kulia ni Geneviva Emmanuel, Anna Daud, Upendo Urasa, Emaculata Njuu na Jaquiline Benson.

Mh we acha tu! yaani ni burudani kwa kwenda mbele.

wanenguaji wa bendi ya FM Academia wakishambulia jukwaa.


vazi la ufukweni
Vazi la Ubunifu

Warembo wakaingia kwa shoo kabambe


miss chang'ombe aliyemaliza muda wake
sasa huyu ndo miss chang'ombe

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA