
Miss Chang'ombe Geneviva Emmanuel akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Upendo Urasa kulia na mshindi wa tatu Anna Daud mara baada ya washindi kutangazwa katika shindano la Miss Chang'ombe liliofanyika kweny viwanja vya TCC Sigara Jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo.
Katika shindano hilo lililokuwa la kuvutia kutokana na viwango vya warembo walishiriki kwenye shindano hilo, mashabiki wengi waliinuka na kushangilia kwa nguvu mara baada ya washindi hao kutangazwa huku wakisikika kuwapongeza majaji kwa kazi nzuri kwani walidai kuwa majaji wametenda haki na hawa warembo wamejibu vizuri maswali yao, lakini pia mwaka huu chang'ombe wana wawakilishi wazuri kwenye Miss Temeke hata Miss Vodacom Tanzania Pia.
Katika onyesho

Hawa ni Tano bora kuanzia kulia ni Geneviva Emmanuel, Anna Daud, Upendo Urasa, Emaculata Njuu na Jaquiline Benson.

Mh we acha tu! yaani ni burudani kwa kwenda mbele.

wanenguaji wa bendi ya FM Academia wakishambulia jukwaa.
vazi la ufukweni





Warembo wakaingia kwa shoo kabambe
No comments:
Post a Comment