
Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa
Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani
Kikwete,akivishwa skafu chipukizi baada ya kuwasili wilayani
Rufiji jana, kuanza kampeni mkoani Pwani ya kuweka mikakati
ya ushindi wa kishindo kwa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa
Oktoba 31, Mwaka huu nchini. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Mzee Kada wa CCM,Salum Mwegio akiwaombea dua wagombea ubunge
na madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaowania nafasi
hizo, baada ya Mjumbe wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu
la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,
Ridhiwani Kikwete, kuwanadi mjini Uteta, Rufiji juzi, wakati
wa kampeni za ndani za kuweka mikakati ya ushindi wa

kishindo kwa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, Mwaka
huu nchini

Wazee makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakimlaki Mjumbe
wa Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa
Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Ridhiwani
Kikwete,alipowasili mjini Utete, Rufiji jana, kufanya
kampeni ya kuweka mikakati ya ushindi wa kishindo kwa CCM
katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, Mwaka huu nchini.

Sehemu ya umati wa wanaCCM, ukiwa katika mkutano wa kampeni
uliohutubiwa na Mjumbe a Kamati ya utekelezaji ya Baraza Kuu
la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa,
Ridhiwani Kikwete,mjini Utete, Wilaya ya Rufiji juzi.