Aug 23, 2012

YANGA YAZURU MAKABURI YA WAHANGA WA MAUAJI YA KIMBARI RWANDA

Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini wa klabu ya Young Africans, Mama Fatma Karume akiwaongoza viongozi na wachezaji wa yanga kwenda kuweka mashada ya maua katika makaburi ya mauaji ya Kimbari katika eneo la gisozi jijini kigali
 Timu ya Young Africans iliyoko Kigali nchini Rwanda imetembelea eneo la makumbusho ya mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994 na kusababisha wanyarwanda wengi kupoteza maisha katika vita iliyohusisha makabila mawili tofauti.
Young Africans iliyoko nchini Rwanda kwa ziara ya mafunzo ya wiki moja, jana jioni ilifanya mazoezi katika uwanja wa Nyamahoro kujiandaa na mchezo wake wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports, mchezo utakaochezwa hapo kesho majira ya jioni. 

viongozi wa yanga wakisubiri kuzuru na kuweka mashada ya maua katika makaburi ya mauaji ya kimbari mwaka 1994.




Young Africans wakiwasili katika makaburi ya mauaji ya kimbari mjini kigali














Wachezaji na Viongozi wa yanga wakipata maelezo kabla ya kuingia kutembelea nyumba ya makumbusho ya mauaji ya kimbari














Jeryson Tegete akimtoka Godfrey Taita, wakati wa mazoezi katika uwanja wa Nyamirambo











Saimon Msuva (kulia) akichuana na Jeryson Tegete (kushoto) wakati wa mazoezi














Wachezaji wa Young Africans wakiwa wamejipumzisha katika hoteli ya kisasa ya La pallais mjini kigali (picha zote na PICHA NA SALEH ALLY WA CHAMPIONI

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA