Aug 16, 2012

ROBIN VAN PERSIE NA CESC FABREGAS - WALIVYOFANYA TAREHE 15 AUGUST KUWA MBAYA KATIKA HISTORIA YA ARSENAL




Tarehe 15 ya August itaendelea kuwa tarehe ya maumivu kwa washabiki wa Arsenal milele.
Kwanini?


Kwanini?

Msimu uliopita mnamo tarehe 15, mwezi kama huu yaani August, Arsenal walimuuza nahodha wao na kiungo wa kutegemewa Cesc Fabregas waliomsajili na kukaa nae kwa takribani miaka 8. 


Pia tarehe kama ya leo (15th August) Arsenal wanakubaliana ada ya uhamisho na mahasimu wao Manchester United kwa ajili ya nahodha na mshambuliaji wao wa kutumainiwa Robin van Persie kujiunga na Mashetani wekundu.



Kwa maana hiyo Cesc Fabregas na Van Persie ambaye nae amekaa Arsenal kwa miaka nane toka 2004-2012 wanaifanya tarehe hii (15th August) kuwa kumbukumbu mbaya kwa mashabiki wa klabu yao ya zamani - Arsenal.


UFANANO WAO
1: Wote wemakaa Arsenal kwa miaka nane, Fabregas kutoka 2003 - 2011, Van Persie 2004-2012.

2: Wote walikuwa manahodha wa Arsenal mpaka wakati wanauzwa.

3: Wote wameondoka Arsenal katika tareheh moja. 

R.I.P TO ARSENAL - RVP MANCHESTER UNITED

By Aidan Seif Charlie

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA