Katibu Mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye kushoto akipokea Mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 675 kutoka kwa Mkurungenzi Mkuu wa SBL Ajay Mehta kulia ni Caroline Ndungu Mkurugenzi wa Masoko SBL na katikati ni Meneja Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano SBL Teddy Mapunda. Kampuni ya bia ya serengeti ISBL) kupitiam bia yake ya Tusker itadhamini mashindano hayo kwa jumla ya shilingi miloni 675 za kitanzania kwa ajili ya kuendesha mashindano hayo ikiwa ni pamoja na kugharamia tiketi za ndege kwa timu shiriki na maafisa wa CECAFA pamoja na marefa, malazi, usafiri wa ndani, uratibu, zawadi, ada mbalimbali, usalama, gharama za kutumia uwanja, usajili wa waandishi wa habari na gharama nyinginezo. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza tarehe 27 Novemba mpaka tarehe 11 Disemba mwaka huu ambapo mashindano hayo yanafanyika hapa nchini kwa mwaka huu. Maswhindano ya CECAFA mwaka huu yatashirikisha timu kutoka Kenya, Uganda, Rwanda, Burubdi, Djibouti, Somalia, Ethiopia, Sudan, Tanzania, Zanzibar Eritrea na kwa mara ya kwanza CECAFA imeialika timu ya Ivory Coast kama timu mwalikwa wa mashindano hayo. SBL ndiyo mdhamini mkuu wa mashindano hayo ya CECAFA 2010 kupitia kinywaji chake cha TUSKER Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
Oct 7, 2010
SERENGETI YAIMWAGIA CECAFA MILIONI 675!
Katibu Mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye kushoto akipokea Mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 675 kutoka kwa Mkurungenzi Mkuu wa SBL Ajay Mehta kulia ni Caroline Ndungu Mkurugenzi wa Masoko SBL na katikati ni Meneja Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano SBL Teddy Mapunda. Kampuni ya bia ya serengeti ISBL) kupitiam bia yake ya Tusker itadhamini mashindano hayo kwa jumla ya shilingi miloni 675 za kitanzania kwa ajili ya kuendesha mashindano hayo ikiwa ni pamoja na kugharamia tiketi za ndege kwa timu shiriki na maafisa wa CECAFA pamoja na marefa, malazi, usafiri wa ndani, uratibu, zawadi, ada mbalimbali, usalama, gharama za kutumia uwanja, usajili wa waandishi wa habari na gharama nyinginezo. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza tarehe 27 Novemba mpaka tarehe 11 Disemba mwaka huu ambapo mashindano hayo yanafanyika hapa nchini kwa mwaka huu. Maswhindano ya CECAFA mwaka huu yatashirikisha timu kutoka Kenya, Uganda, Rwanda, Burubdi, Djibouti, Somalia, Ethiopia, Sudan, Tanzania, Zanzibar Eritrea na kwa mara ya kwanza CECAFA imeialika timu ya Ivory Coast kama timu mwalikwa wa mashindano hayo. SBL ndiyo mdhamini mkuu wa mashindano hayo ya CECAFA 2010 kupitia kinywaji chake cha TUSKER
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ME MYSELF & I
THE DON HIMSELF
Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

No comments:
Post a Comment