Oct 20, 2010

NGWE YA LALA SALAMA:KAMPENI ZA MNYIKA UBUNGO KATA YA SINZA MPAKA BAA!

Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo kwa kupitia CHADEMA Ndugu John Mnyika akiwahutubia wakazi wa Sinza Palestina jijini Dar ves salaam katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika Jumapili iliyopita John Mnyika anagombea ubunge katika jimbo la Ubungo.
Mnyika akiwa katika gari kwenye msafara wake wakati alipopita katika mitaa mbalimbali ya Sinza na kusalimiana na wakazi wa Sinza.
Hapa akisalimiana na watu mbalimbali wakati alipokatiza katika moja ya baa zinazouza pombe huko Sinza.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA