Sep 22, 2010

tigo wazindua kituo cha huduma kwa wateja temeke


Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Chiku Gallawa akikata utepe kuzindua rasmi kituo cha huduma kwa wateja cha Tigo, Temeke eneo la Mtoni kwa Aziz Ali jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Ofisa Uhusiano wa Tigo, Jackson Mmbando na wanne kushoto ni Meneja Matawi ya Tigo,Innocent Mayawa.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke,Chiku Gallawa (kushoto) akijisajili na huduma ya Tigo Pesa muda mfupi baada ya kuzindua Kituo cha Huduma kwa Wateja cha Tigo, Temeke, Dar es Salaam jana. Kulia ni Ofisa Huduma kwa Wateja wa kituo hicho, Josephine Reuben wa pili kushoto ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Jackson Mmbando na katikati ni Meneja Matawi wa Tigo, Innocent Mayawa.
Ofisa Huduma kwa Wateja wa Tigo, David Kagusa (kulia) akikabidhi zawadi kwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Chiku Gallawa mara baada ya mkuu huyo kuzindua kituo cha Huduma kwa Wateja cha Tigo, Temeke, Dar es Salaam jana.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA