Mkurugenzi wa Mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akimkabidhi Mwanafunzi Mwanahawa Amiry cheti pamoja na zawadi kwa kufanya vizuri katika kipaji cha kucheza ngoma za asili katika shule ya JKT Jitegemee kwenye mahafali ya 26 ya kidato cha nne yaliyofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo, katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya shule hiyo Raymond Mpazi.
. Mkurugenzi wa Mahusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akimkabidhi Mwanafunzi Anyelwisye Mwakibinga cheti cha kutambuliwa kama kiongozi bora wa Scout katika shule ya JKT Jitegemee kwenye mahafali ya 26 ya kidato cha nne shuleni hapo, wanaoshuhudia kulia ni Kaimu Mkuu wa shule hiyo Meja Michael Mtenjele na katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya shule Raymond Mpazi.
No comments:
Post a Comment