Aug 26, 2010

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA KUSHUHUDIA SHEREHE ZA KUMUAPISHA RAIS NKURUNZINZA BUJUMBURA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapungia wananchi wa Burundi waliofika kwenye uwanja wa ndege Bujumbura Augosti 25, 2010 jana ambako leo atamwakilisha Rais Jaky Kikwete katika sherehe za kumwapisha Rais wa Burundi, Pierre Nkurnzinza. Kulia ni Spika wa Bunge la Nchi hiyoPie Ntavyohanyuma na wapili kushoto ni mkewe Tunu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na watanzania waishio Burundi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura Augost 25 jana Waziri mkuu leo atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika sherehe za kuapishwa kwa rais wa chi hiyo, Pierre Nkurunzinza
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiongozwa na Spika wa Bunge la Burundi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura Augosti 25 ambako leo atamwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika sherehe za kumwapisha Rais wa Nchi hiyo, Pierre Nkurunzinza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA