Claud na mkewe walikuwepo jana.
Bi mwenda nae hakubaki nyuma
Natasha na Bi mwenda
Kutoka kitengo chetu cha habari mwenye shati jeupe anaitwa Lazaro Matalange na Philip Mwihava..
Ni globu ya kijamii inayojihusisha na mambo yote ya kijamii,natumaini jamii yangu ya kitanzania itafaidika sana pindi ichukuapo fursa ya kuperuzi kwenye globu hii,dhamira yangu ni kufikisha ujumbe pamoja na kuiburudisha jamii yangu na furaha yangu ni kuona natimiza dhamira yangu kwako.natumaini kuwa wewe utaniunga mkono kwa kile ambacho nataka kukifanya kwa ajili ya jamii yangu ya kitanzania.NASHUKURU KWA KUNIELEWA.
No comments:
Post a Comment