Aug 25, 2010

UZINDUZI WA KIPINDI CHA ZAMARADI CHA TAKE ONE KILIVYOFANA JANA,

Muhongo mchungu na baba hapo wakijadili jambo
Claud na mkewe walikuwepo jana.

Bi mwenda nae hakubaki nyuma

Zamaradi,dina na Dj Fetty...

Natasha na Bi mwenda
Kutoka kitengo chetu cha habari mwenye shati jeupe anaitwa Lazaro Matalange na Philip Mwihava..

Stella wa hapa clouds upande wa masoko na Wakuvanga wakishow love jana.


Singe Mtambalike a.k.a Richie richie hakubaki nyuma maana hili jambo ni lao pia.


Wasanii jana walipata pia nafasi ya kubadilishana mawazo,kwa mbali unamuona Dr.Cheni.


Utani ulikuwepo mwingi sanaYvone Sherry a.k.a Monalisa nampendaga sana huyu dada

Ben Kinyaiya


No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA