Aug 10, 2010

SHINDANO LA MISS TANZANIA SEPTEMBER 11 WAREMBO 31 KAMBINI AUGASTI 16

HASHIM LUNDENGA MWAANDAAJI WA MISS TANZANIA.

Mashindano ya urembo ya VODACOM miss TANZANIA 2010 yatafanyika Septemba 11 mwaka huu Jijini DSM huku warembo thelathini na moja waliochaguliwa katika kanda zote zilizoandaa mashindano hayo wanatarajia kuingia kambini .

Akizungumza Jijini DSM mkurugenzi wa miss TANZANIA HASHIM LUNDENGA amesema kuwa shindano la mwaka huu litakuwa la aina yake na litaandaliwa tafauti na miaka ya nyuma

LUNDENGA amesema kuwa mwaka huu kumekuwa na ushindani mzuri katika ngazi mbali mbali za mashindano hayo hivyo wanatarajia katika fainali atapatikanana mrembo ambaye ataweza kuwakilisha nchi vyema katika mashindano ya dunia.

Amesema licha ya kuingia kambini katika kipindi cha mfungo wa ramadhani lakini warembo hao wataweza kuendeela na ibada zao kama kawaida

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA