Aug 25, 2010

OpenSanit wazindua bidhaa zao jijini Dar


Mkurugenzi Mtendaji wa kampun ya Open Sanit,Bw.Octavian Mshiu akifafanua jambo kw a mgeni rasmi Naibu Waziri wa Viwanda, biashara na Masoko Dk. Cyril Chami kabla ya kuzindua bidhaa za kampuni ya Beier Safety Footwear ya Afrika Kusini ikishirikiana na kampuni ya Open Sanit Tanzania jioni ya leo ndani ya hoteli ya Sea Cliff jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya BEIER SAFETY FOOTWEAR,Bw.Silvio Ceriani akizungumza machache mbele ya wageni waalikwa kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kuzindua bidhaa za kampuni hiyo.
Naibu Waziri wa Viwanda, biashara na Masoko Dk. Cyril A. Chami akimpatia zawadi wa bahati nasibu ndogo ya viatu iliyofanyika katika uzinduzi huo,Bw. Victor Mushi,ambapo watu kadhaa walijinyakulia zawadi hizo za viatu vikiwemo viatu mbalimbali vya usalama..
Baadhi ya wageni waalikwa wakiangali baadhi ya bidhaa zinazotengenezwa na kampuni hizo mbili,bidhaa hizo za aina mbalimbali zinazotumika katika masuala ya usalama hasa viwandani na kwenye makampuni.
Mmgeni rasmi Naibu Waziri wa Viwanda, biashara na Masoko Dk. Cyril Chami (tatu kulia) akioneshwa aina ya bidhaa mbalimbali zitakazokuwa zikitengenezwa na kampuni hizo mbili,ya Beier Safety Footwear ktoka Afrika Kusini ikishirikiana na kampuni ya Open Sanit (Tanzania) jioni ya leo hoteli ya Sea Cliff jijini Dar. Baadhi ya bidhaa zitakazokuwa zinatengenezwa na kampuni ya Beier Safety Footwear kutoka nchini Afrika ya Kusini ikishirikiana na kampuni ya Open Sanit ya Tanzania.kama vipi ingia http://www.opensanit.com/ kupata maelezo zaidi.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA