Martin O’Neill.
Kocha huyo amechukua hatua hiyo baada ya kuwa na sintoelewana kati yake na mmiliki wa klabu hiyo ajulikanae kwa jina la Randy Lerner na kikubwa ni kutokana na kuzwa kwa kiungo James Milner kwa Man city na kama angeweza kutumia kitita cha mauzo hayo kununua wachezaji wengine.
Lakini yaonekana kocha huyo alivumilia sana uzwaji wa wachezaji wake tegemeo kama Gareth Barry nae kwenda Man city.
Timu hiyo imemteuwa Kevin Macdonald kuwa mrithi wa mda mfupi nae akikabiliwa na kibarua kigumu cha mechi kati yao na West ham utd siku ya jumamosi
No comments:
Post a Comment