Aug 10, 2010

O’NEILL AIMUA KUSEPA ASTON VILLA……!!!!

Martin O’Neill.

Kocha huyo amechukua hatua hiyo baada ya kuwa na sintoelewana kati yake na mmiliki wa klabu hiyo ajulikanae kwa jina la Randy Lerner na kikubwa ni kutokana na kuzwa kwa kiungo James Milner kwa Man city na kama angeweza kutumia kitita cha mauzo hayo kununua wachezaji wengine.

Lakini yaonekana kocha huyo alivumilia sana uzwaji wa wachezaji wake tegemeo kama Gareth Barry nae kwenda Man city.

Timu hiyo imemteuwa Kevin Macdonald kuwa mrithi wa mda mfupi nae akikabiliwa na kibarua kigumu cha mechi kati yao na West ham utd siku ya jumamosi

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA