Mwenyekiti wa Taasisi ya wanawake na Maendeleo (WAMA) ,Mama Salma Kikwete, leo akiongea na wanachama wa UWT Wilaya ya Mafia katika ziara ya siku moja kuwahamasisha wanacham wa umoja wa nawake Tanzania kuwachagua wagombea wa CCM katika uchaguzi ujao. (Picha na Mwanakombo Jumaaa Maelezo Dar es salaam)
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akimtambulisha jana mgombea ubunge wa Mafia kupitia CCM Abdulkarim Shah.
Wanachama wa UWT Wilayani Mafia Mkoa wa Pwani leo wakimsikiliza Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete hayupo pichani katika mkutano wake na wanachama hao kuhusu kuwahamasisha masuala ya Uchaguzi Mkuu ujao hapo Oktoka 31 mwaka huu. picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
No comments:
Post a Comment