Jun 19, 2010

MZEE KUNA UKWELI KATIKA HILI?



Madai ya msanii nguli wa filamu nchini, Charles Tobias Magali kuwa, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Sista Fay ni binti yake wa damu, bado yanawekewa alama nyekundu na baadhi ya wasanii.

Wengi ‘walipokohoa’ chini kwa chini na Jiwe the dj kunyaka nyeti zao wameshauri mzee huyo kwenda kwa Mkemia Mkuu kupima vinasaba vyake na mtoto huyo ili kupata uhakika.

Wameshauri kuwa, itamsaidia mzee huyo kuwa na uhakika kwani dunia ya sasa imechafuka kama si kuharibika.
Hata hivyo, fungu lingine la wasanii wamesema hakuna haja ya kutumika kwa DNA wakati Magali mwenyewe kama mzazi hana wasiwasi wa kubambikwa binti huyo.

No comments:

THE DON HIMSELF

Karibuni sana kwenye blog hii ya kijamii iliyosheheni makila kitu kuanzia siasa uchumi afya na burudani kwa ujumla wake.uingiapo kwenye blog hii ni mengi ambayo utapata nafasi ya kukutana nayo,kumbuka mawazo yako ndo hasa yanayojenga na kunifanya niwe na ufanisi zaidi.kariiiiiiibuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaanaaaaaaaaaa.(THE DJ HIMSELF-JIWE)

Followers

BLOG ZA MARAFIKI

Search This Blog

ZILIZOPITA

DUNIA MUZIMA